Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 76 ikiwalza Malaga 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Casemiro dakika ya 21, wakati ya Malaga yamefungwa na Diego Rolan dakika ya 18 na Gonzalo Castro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea poised to recoup £65m after breakthrough day of sales - with three
players on the brink of exits to Premier League clubs
-
KIERAN GILL: The midfielder cost £30m when Chelsea signed him from
Leicester City last year as he became a squad player under Enzo Maresca,
starting twice ...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment