Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 76 ikiwalza Malaga 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Casemiro dakika ya 21, wakati ya Malaga yamefungwa na Diego Rolan dakika ya 18 na Gonzalo Castro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment