Mshambuliaji Raheem Sterling akimchambua kipa Brad Jones wa Feyenoord ya Uholanzi kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 88 Uwanja wa Etihad katika ushindi wa 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na moja kwa moja kuiwezesha timu hiyo ya kocha Pep Guardiola kufuzu hatua ya mtoano kama mshindi wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England may play two games away from Wembley at Euro 2028
-
Euro 2028 co-hosts England face playing one group match and a possible
last-16 game away from Wembley.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment