Willian akifurahia na mchezaji mwenzake wa Chelsea, Eden Hazard baada ya kufunga mabao mawili dakika za 36 na 85 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Qarabag usiku wa Jumatano Uwanja wa Bakı Olimpiya mjini Baku. Mabao mengine ya Chelsea katika mchezo huo wa Kundi C yamefungwa na Hazard dakika ya 21 na Cesc Fabregas dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment