Winga wa Liverpool, Mohamed Salah akinyoosha mikono kuashiria hataki kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 65 katika sare ya 1-1 na timu yake ya zamani, Chelsea usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, bao la The Blues likifungwa na Willian dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment