Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 11 na 63 ikiwalaza wenyeji, Arsenal 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Man United iliyomaliza pungufu baada ya kiungo wake, Paul Pogba kutolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 74 kwa kumchezea tafu Hector Bellerin, lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 49 akimalizia pasi ya Aaron Ramsey PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CALUM McCLURKIN: Chester chaos presents plenty of grounds for concern in a
week filled with farce
-
The May election for the Scottish Parliament were labelled 'the Meh'
elections this week due to the level of public disillusionment with
politics in Holyrood.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment