Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Liverpool dakika ya 44 ikiwalaza 4-0 wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 20, Dejan Lovren dakika ya 26 na Roberto Firmino dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ESPN reporter sparks furious backlash after slamming 'ridiculous' policy
keeping media out of WNBA locker rooms
-
Inevitably, a man suggesting reporters are allowed into a personal space
where female athletes get changed around games was not met with a
completely posit...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment