Memphis Depay akionyesha tattoo yake ya Simba baada ya kuifungia bao la pili Olympic Lyon dakika ya 90 na ushei ikiwalaza 2-1 Paris Saint-Germain katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Groupama mjini Lyon. Nabil Fekir aliifungia bao la kwanza Lyon dakika ya pili, kabla ya Layvin Kurzawa kuwasazishia wageni dakika ya 45 na ushei katika mchezo ambao, mshambuliaji wa PSG, Kylian Mbappe alitolewa kwa machela dakika ya 36 baada ya kuumia kufuatia kugongana na Anthony Lopes na nafasi yake kuchukuliwa na Julian Draxler PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Commanders star appears to hit a referee after teammate slapped Amon Ra St.
Brown to spark angry brawl
-
A pair of Washington Commanders defensive tackles lost their heads in
moments of madness that led to one ejection and one major penalty.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment