Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakifurahi baada ya wote kufunga mabao manne katika ushindi wa 5-0 wa Barcelona wa 5-0 dhidi ya Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 64 na 80 na Suarez dakika za 69 na 89 baada ya Ivan Rakitic kufunga la kwanza dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cringe Fox Sports analyst Jonathan Vilma ripped for forcing TikTok joke
into Donald Trump NFL interview
-
The president attended Sunday's NFL game between the Detroit Lions and
Washington Commanders for the 'Salute to Service' initiative across the
league.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment