Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakifurahi baada ya wote kufunga mabao manne katika ushindi wa 5-0 wa Barcelona wa 5-0 dhidi ya Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 64 na 80 na Suarez dakika za 69 na 89 baada ya Ivan Rakitic kufunga la kwanza dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Chelsea among clubs eyeing shock move for £40m rated Arsenal star
-
Chelsea are one of the clubs alert to the situation surrounding Arsenal
youngster Ethan Nwaneri according to reports.DOWNLOAD THE OFFICIAL CHELSEA
NEWS APP...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment