Bondia Muingereza, Anthony Joshua akifurahia na mataji yake ya WBO, IBO, IBF na WBA baada ya kuyaunganisha kufuatia ushindi wa pointi kwenye pambano la raundi 10 uzito wa juu dhidi ya Joseph Parker wa New Zealand usiku wa jana ukumbi wa Principality mjini Cardiff, Uingereza. Baada ya kuunganisha taji la WBO kwenye mataji yake ya awali ya IBO, IBF na WBA katika pambano lake la 21 na la kwanza kushinda kwa pointi baada ya Knockout (KO) tupu kwenye mapambano yake 20 yaliyotangulia, taji pekee lililobaki la uzito wa juu ni la WBC ambalo analo Mmarekani, Deontay Wilder PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Sanchez's NFL broadcast career looks OVER after arrest for truck
driver brawl as Fox lines up Super Bowl winner to replace him
-
Sanchez, 38, was arrested in hospital on suspicion of felony battery.
Police said Sanchez was stabbed multiple times after allegedly attacking a
truck driv...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment