Kiungo zao la timu ya vijana, Grady Diangana akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili West Ham United dakika za 67 na 82 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Macclesfield kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa London. Mabao mengine ya West Ham yamefungwa na Michail Antonio dakika ya 29, Robert Snodgrass mawili dakika za 32 na 60, Lucas Perez dakika ya 39, Ryan Fredericks dakika ya 51 na Angelo Ogbonna dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment