Mshambuliaji Mbelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 85 ikiilaza Liverpool 2-1 usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Hazard alifunga bao hilo baada ya kuingia dakika ya 56 kuchukua nafasi ya Willian, wakati bao lingine la Chelsea limefungwa na Emerson dakika ya 79, baada ya Daniel Sturridge kutangulia kuifungia bao zuri Liverpool dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SGF, lawmaker back president’s second term
-
From Godwin Tsa, Abuja The Secretary to the Government of the Federation
(SGF) Senator George Akume, has called on the people state to support
President ...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment