Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimtazama kipa wa Singida United, David Kissu baada ya kuokoa jana wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hizo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0 mabao yote akifunga Amissi Tambwe.
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akifumua shuti jana
Kiungo Ibrahim Ajib akipoga pasi ya juu
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke (kushoto) akipambana na wachezaji wa Singida United
Kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa jana
Kikosi cha Singida United kwenye mchezo wa jana
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment