Wageni wa heshima wakisalimiana na wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Freddy Mbuna, Said Maulid ‘SMG’, Abdulkadir Mohammed ‘Tashi’ na Edibily Lunyamila kabla ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC Februari 17, mwaka 2001 Uwanja wa Uhuru, sasa Taifa mjini Dar es Salaam. Yangs ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Lunyamila dakika ya 47 na AllyYussuf 'Tigana' dakika ya 80 la Simba likifungwa na Steven Mapunda 'Garrincha' dakika ya 43.
Rangers 'unsatisfied' with SFA explanation of Trusty decision as club hit
out at 'repeated inconsistencies' in major matches
-
Rangers last night slammed the SFA and the performance of referee Nick
Walsh in Sunday's Old Firm defeat to Hampden.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment