Marco Asensio akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 41 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Ushindi huo unaipeleka Real kileleni ikifikisha pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, ingawa inaweza kuachia kiti leo iwapo Barcelona yenye pointi 12 itashinda mechi yake ya tano dhidi ya Girona Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday stars issue desperate plea amid 'extreme concern' over
financial turmoil at striken Championship club - with fears they will NOT
be able to play the opening game of the season
-
In a forthright message the group - hit by ongoing wage delays amid
financial troubles - have also explained their decision to withdraw from
the friendly w...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment