Cristiano Ronaldo akikimbilia kushangilia baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Frosinone Uwanja wa Benito Stirpe mjini Frosinone katika mchezo wa Serie A. Bao la pili la Juve limefungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment