Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza Ryad Mahrez baada ya Mualgeria huyo kufunga mabao mawili dakika ya 67 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Cardiff City. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 32, Bernardo Silva dakika ya 35 na İlkay Gundogan dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment