Erik Lamela (kushoto) akishangilia na Danny Rose (wa pili kushoto), Harry Kane (wa pili kulia) na Lucas Moura (kulia) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion Uwanja wa The AMEX. Bao la kwanza la Spurs lilifungwa na Kane kwa penalti dakika ya 42 wakati la Brighton limefungwa na Anthony Knockaert dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment