Mshambuliaji Sergio Aguero akiwa ameshika jezi yake baada ya kusaini mkataba wa kuendelea kufanya kazi kwa mwaka mmoja zaidi Manchester City hadi mwaka 2021 kwa mshahara wa Pauni 220,000 kwa wiki. Aguero, mwene umri wa miaka 30, amefunga mabao zaidi ya 200 tangu amejiunga na Man City mwaka 2011 na ndiye mfungaji bora wa muda wote wa klabu baada ya Novemba mwaka jana kuvunja rekodi ya miaka 78 iliyowekwa na Eric Brook PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment motorbiking ace Marc Marquez suffering spectacular cartwheeling Moto
GP crash as he breaks foot when thrown off bike
-
The 33-year-old Spaniard was launched into the air after losing control at
Turn 14 on the penultimate lap, with his Ducati machine somersaulting
across the...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment