Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akipambana katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano wakichapwa mabao 2-1 na Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganes. Mabao ya Leganes yalifungwa na Nabil El Zhar dakika ya 52 na Óscar RodrÃguez dakika ya 53, wakati la Barce limefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scunthorpe player and Forest fan among train attack victims
-
Scunthorpe United footballer Jonathan Gjoshe, 22 and Nottingham Forest fan
Stephen Crean were stabbed.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment