Winga Muargentina, Angel Di Maria akimuinua mshambuliaji Mbrazil, Neymar kumpongeza baada ya kuifungia mabao mawili Paris Saint-Germain dakika za 22 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Bao lingine la PSG limefungwa na Christopher Nkunku dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SGF, lawmaker back president’s second term
-
From Godwin Tsa, Abuja The Secretary to the Government of the Federation
(SGF) Senator George Akume, has called on the people state to support
President ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment