Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 37 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Brentford kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabo Cup usiku wa Jumatano wa Emirates mjini London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea: What Slot said
-
Liverpool have dropped nine points from winning positions in Premier League
home games this season, their most at Anfield in a single campaign since
2015-1...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment