Cristiano Ronaldo wa akionyesha uwezo wake katika mchezo wa Serie A Juventus ikishinda 3-1 dhidi ya Napoli Uwanja wa Allianz mjini Torino. Ronaldo aliwasetia Mario Mandzukic kufunga bao la kwanza dakika ya 26 na Leonardo Bonucci la tatu dakika ya 76. Mandzukic alifunga pia la pili dakika ya 49, wakati bao la Napoli lilifungwa na Dries Mertens dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment