Kiungo Aaron Ramsey akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya mpira uliopigwa na Lucas Torreira kumbabatiza beki Kalidou Koulibaly aliyejifunga dakika ya 25 kuipa timu hiyo bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London na timu hizo zitarudiana Aprili 18 Uwanja wa San Paolo mjini Napoli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Out of the blue, Bundesliga club changes its badge
-
The top match between VfL Wolfsburg and FC Bayern is already creating
plenty of storylines before kickoff. After it became public ahead of the
game that Di...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment