Kiungo Aaron Ramsey akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya mpira uliopigwa na Lucas Torreira kumbabatiza beki Kalidou Koulibaly aliyejifunga dakika ya 25 kuipa timu hiyo bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London na timu hizo zitarudiana Aprili 18 Uwanja wa San Paolo mjini Napoli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Europe's Ryder Cup heroes go wild as Rory McIlroy leads boozy celebrations
after dramatic triumph on US soil
-
While they did so in much hairier fashion than expected, Europe stars will
care very little after sneaking over the line to sink their great rivals
and win...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment