SIMBA SC WAHAMISHIA HASIRA ZOTE KWA MBEYA CITY BAADA YA KUPIGWA NA MWADUI
Kocha Mkuu wa Simba SC, Mbelgiji Patrick Aussems akielekea kwenye gari baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kutoka Mwanza walipounganisha usafiri wa anga wakitokea Shinyanga kwa usafari wa basi ambako Jumatano walifungwa 1-0 na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara
Wachezaji Ibrahim Ajibu (kushoto) na Haruna Shamte (kulia) baada ya kuwasili Dar es Salaam kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Mbeya City Jumapili Uwanja wa Uhuru
Miraj Athumani 'Madenge' mbele akifuatiwa na kipa Beno Kakolanya
Kiungo Francis Kahata baada ya kuwasili Dar es Salaam tayari kwa mchezo na Mbeya City Jumapili
Baby elephant delights visitors at Vienna's Zoo
-
On November 6, 2025, in Vienna, Austria, Schönbrunn Zoo introduced its
two-and-a-half-month-old elephant calf, now fully integrated with the herd.
The play...
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment