Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
                      -
                    
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier 
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment