Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment