Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
Smith scores 20 as Central Connecticut takes down VSU-Johnson 117-55
                      -
                    
NEW BRITAIN, Conn. (AP) — Darin Smith Jr.'s 20 points helped Central 
Connecticut defeat Vermont State-Johnson 117-55 on Monday.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment