Kevin De Bruyne akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 40, kufuatia Raheem Sterling kufunga la pili dakika ya 15 katka ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment