Simba Queens imeedeleza ubabe kwa Yanga Princess baada ya ushindi wa 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Mwanahamisi Omar dakika ya 13 na Neema Kilinga mawili dakika ya 35 na 86, wakati la Yanga Princess limefungwa na Shelda Boniface dakika ya 25
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
                      -
                    
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier 
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment