Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akikimbia kushangilia baada ya kuisawazishia Real Madrid dakika ya 90+5 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Valencia iliyotangulia kwa bao la Carlos Soler dakika ya 78 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Matokeo hayo yanamaanisha Real Madrid inaendelea kulingana kwa pointi na mabingwa watetezi, Barcelona 35 kila timu baada ya mechi 16, ingawa wanazidiwa wastani wa mabao tu kuelekea El Clasico usiku wa Jumatano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
                      -
                    
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier 
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment