Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment