Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Unwatchable or irresistible? The manager purists love to hate
-
As Getafe prepare to visit Barcelona on Sunday in La Liga, European
football expert Guillem Balague profiles their controversial manager Jose
Bordalas.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment