Refa Martin Atkinson akimuonyesha kadi nyekundu kipa wa Manchester City, Ederson dakika ya 12 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Wolverhampton jana Uwanja wa Molineux. Wolves ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Adama Traore dakika ya 55, Raul Jimenez dakika ya 82 na Matt Doherty dakika ya 89, baada ta Man City kutangulia kwa mabao ya Raheem Sterling dakika ya 25 na 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua’s fight in Nigeria pegged for 2026
-
Former world boxing heavyweight champion, Anthony Joshua’s career-long
dream to host a match in Nigeria is closer to reality as boxing promoter
Ezekiel A...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment