Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL club president confesses to hitting one of his team's all-time greats
with an astonishing F-bomb insult
-
Essendon president David Barham has admitted to the harsh exchange with a
premiership-winning hero and hall of famer.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment