Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78  katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
  
Smith scores 20 as Central Connecticut takes down VSU-Johnson 117-55
                      -
                    
NEW BRITAIN, Conn. (AP) — Darin Smith Jr.'s 20 points helped Central 
Connecticut defeat Vermont State-Johnson 117-55 on Monday.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment