Mshambuliaji wa Mbao FC Said Khamis Said, maarufu kama Said Junior amejiunga na klabu ya Baniyas SC ya Al Shamkha, Abu Dhabi, Falme za Kiarabu (UAE) kwa mkataba wa miaka mitatu, akijunga na chipukizi mwingine, John Tibar George aliyesajiliwa kutoka MFK Vyskov ya Daraja la Pili ya Czech, baada ya kuzichezea Ndanda FC na Singida United za nyumbani 
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
                      -
                    
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier 
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment