KIPA namba moja wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Aishi Salum Manula akijifua kwenye mazoezi binafsi Jijini Dar es Salaam kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi ya vikosi vyake vyote kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona duniani kote, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment