Kipa wa Simba SC, Aishi Salum Manula (kushoto) alimkaribisha mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda kucheza naye Games nyumbani kwake, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika kipindi hiki timu zao zimesitisha mazoezi kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19. Manula na Chilunda wote wamewahi kucheza pamoja Azam FC baada ya kuibuliwa kwenye akademi ya klabu hiyo.
Liverpool 1-0 Real Madrid PLAYER RATINGS: Who had a 'coming-of-age
performance'? Who now looks back to their best? And which star did nothing
of note?
-
LEWIS STEELE AT ANFIELD: Liverpool once again got one over on Real Madrid
at Anfield on Tuesday night, suggesting that the Reds may well have turned
a corn...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment