Wanasoka ndugu, beki Kasongo Athumani Mgaya wa Simba SC (kushoto) akiwania mpira dhidi ya kaka yake, Issa Athumani Mgaya wa Yanga SC (sasa marehemu) katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) baina ya watani hao wa jadi Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yote yakifungwa Said Mwamba 'Kizota' (sasa marehemhu) dakika ya 47 na 57 mara zote akimalizia pasi za Zamoyoni Mogella, wakati bao pekee la Simba SC lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia) dakika ya 75
A cultural revolution? Trump’s America feels oddly familiar to those
watching from China
-
Demands of absolute loyalty and attacks on institutions have raise memories
of Mao-style chaos from US watchers in China
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment