Wanasoka ndugu, beki Kasongo Athumani Mgaya wa Simba SC (kushoto) akiwania mpira dhidi ya kaka yake, Issa Athumani Mgaya wa Yanga SC (sasa marehemu) katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) baina ya watani hao wa jadi Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yote yakifungwa Said Mwamba 'Kizota' (sasa marehemhu) dakika ya 47 na 57 mara zote akimalizia pasi za Zamoyoni Mogella, wakati bao pekee la Simba SC lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia) dakika ya 75
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment