Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Sporting Gijon kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema mawili na Gareth Bale moja, wakati la Gijon limefungwa na Isma Lopez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OpenAI’s long-awaited GPT-5 model nears release
-
SAN FRANCISCO (Reuters) -OpenAI's GPT-5, the latest installment of the AI
technology that powered the ChatGPT juggernaut in 2022, is set for an
imminent re...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment