Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kieran Foran's final footy game - as NRL legend prepares for his next
challenge as an assistant coach with the Manly Sea Eagles
-
Kieran Foran will sign off with one of rugby league's most deserved
farewells on Sunday night - and 15 hours later begin life as an NRL
assistant coach wit...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment