Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cardi B and Stefon Diggs fuel reunion talk with VERY touchy appearance
together at charity event
-
They had broken up around February's Super Bowl - the rapper was supporting
her man in the buildup to the game before abruptly wiping all reference to
him ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment