Lucas Perez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 71 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nottingham Forest kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa City. Perez alifunga bao lingine dakika ya 60, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Granit Xhaka dakika ya 23 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Outrage as 10 MILLION sports fans still can't watch games this weekend due
to bitter TV dispute
-
YouTubeTV, the popular chord-cutting streaming service owned by Google,
pulled every channel owned by Disney off their platform late at the end of
last month.
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment