Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants ace Logan Webb goes on 15-day IL with right knee bursitis, ending
consecutive start streak
-
Webb has made 156 consecutive starts for the Giants, dating back to 2021.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment