Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eni Aluko blames her TV punditry work drying up on Joey Barton's attacks,
as she reveals she feared being STABBED after his hateful posts
-
Eni Aluko has claimed her punditry work dried up as a consequence of social
media attacks by Joey Barton, following the former footballer conviction on
Fri...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment