Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la ushindi dakika ya 11 ikiwalza wenyeji, Chelsea 2-1 Uwanja wa Stamford Bridge, London jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesc Fabregas dakika ya tano, kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Palace dakika ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Edo task force arrests 10 for illegal revenue collection
-
From Tony Osauzo, Benin Officials of the Edo State Government have arrested
over 10 individuals for illegally extorting money from drivers, traders,
and ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment