Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la ushindi dakika ya 11 ikiwalza wenyeji, Chelsea 2-1 Uwanja wa Stamford Bridge, London jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesc Fabregas dakika ya tano, kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Palace dakika ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wafer shines as Ireland enjoy home win over Wales
-
Ireland register their second win in the Women's Six Nations with a
hard-fought 33-12 bonus-point victory over Wales at Affidea Stadium.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment