Rais wa Shirikisho la Soka Uganda (FUFA), Mhandisi Moses Magogo (kushoto) akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi jezi ya timu ya taifa ya Uganda, The Cranes waliyoitumia katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Januari mwaka huu. Zoezi hilo lilifanyika mjini Kampala, Uganda jana baada ya kikao cha Marais wa vyama na Mashirikisho ya Soka Afrika Mashariki na Kati
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment