Rais wa Shirikisho la Soka Uganda (FUFA), Mhandisi Moses Magogo (kushoto) akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi jezi ya timu ya taifa ya Uganda, The Cranes waliyoitumia katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Januari mwaka huu. Zoezi hilo lilifanyika mjini Kampala, Uganda jana baada ya kikao cha Marais wa vyama na Mashirikisho ya Soka Afrika Mashariki na Kati
Will McLaren be worried about Norris-Piastri relationship?
-
BBC Sport F1 correspondent Andrew Benson answers your latest questions
following the Hungarian Grand Prix.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment