Wilfried Ndidi akishangilia baada ya kuifungia bao zuri la kwanza Leicester City dakika ya 25 ikiilaza 2-0 Stoke City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la mabingwa hao watetezi limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 47. Ndindi alikuwa sahiba wa Mtanzania, Mbwana Samatta KRC Genk ya Ubelgiji kabla ya kuhamia England Januari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pep Guardiola issues hilarious 'come on you Irons' rallying cry to West Ham
as Man City pile pressure on title rivals Arsenal by moving to within two
points
-
Pep Guardiola insisted that Manchester City will breathe down Arsenal's
neck until the very last kick of the Premier League title race after
beating Brentf...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment