Wilfried Ndidi akishangilia baada ya kuifungia bao zuri la kwanza Leicester City dakika ya 25 ikiilaza 2-0 Stoke City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la mabingwa hao watetezi limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 47. Ndindi alikuwa sahiba wa Mtanzania, Mbwana Samatta KRC Genk ya Ubelgiji kabla ya kuhamia England Januari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woman receives criminal conviction for uninsured motorbike when
hospitalised with mental health crisis
-
The woman says she was in hospital with a mental health crisis when the
insurance wasn’t paid
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment