Mshambuliaji wa Colombia, Radamel Falcao akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Brazil jana Uwanja wa Metropolitano Roberto Melendez mjini Barranquilla katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini, kufuatia Willian kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Women's World Cup: England bowl against New Zealand in final group game
-
Follow live text and listen to BBC Radio 5 Live commentary as England face
New Zealand in the ICC Women's World Cup in Visakhapatnam.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment