Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Ubelgiji dakika ya 75 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Ugiriki jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Georgios Karaiskaki mjini Pireas. Jan Vertonghen alianza kuifungia Ubelgiji ya kocha Roberto Martinez dakika ya 70, kabla ya Zeca kuisawazishia Ugiriki. Ubelgiji sasa inafikisha pointi 22 baada ya kucheza mechi nane na kuwa timu ya kwanza kufuzu fainali za mwakani za Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Meet the new WAG at the Bernabeu! Vinicius Jr goes Instagram official with
Brazilian influencer who boasts 53 MILLION Instagram followers, her own TV
show and a famous ex-husband
-
The Brazilian winger, 25, and Virginia Fonseca, 26, confirmed their
rumoured relationship with a smitten post on Instagram this week.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment