Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuseti bao pekee la ushindi la Ureno ugenini lililofungwa na Andre Silva dakika ya 48 katika mchezo wa Kundi kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya wenyeji, Hungary mjini Budapest. Hungary ilimaliza pungufu baada ya Tamas Priskin kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 30 kwa kumchezea rafu Pepe wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The humble life of Paul Scholes: Man United legend, 50, lives with fear of
what happens to autistic son when he dies, shares custody with estranged
childhood sweetheart - and his netball star daughter is dating a Love
Islander
-
Man United and England football legend Paul Scholes has opened up on the
trials, tribulations, joys and biggest fear of his family life. He has
largely kep...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment