Davy Propper akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za saba na 80 jana Uwanja wa Amsterdam ArenA katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bulgaria kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Arjen Robben, wakati la Bulgaria limefungwa na Georgi Kostadinov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United and England legend Paul Scholes QUITS television punditry work
to care for his non-verbal autistic son, 20, as he confirms he's split from
wife Claire after years of silence
-
The 50-year-old was previously a frequent fixture on television coverage of
domestic and European matches, but this season has stepped away from
television...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment