Winga wa Simba, Abdul Ramadhani ‘Mashine’ (kushoto) na beki Twaha Hamidu ‘Noriega’ wakiwa mazoezini kwenye kambi ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya wenyeji, USM El Harrach mjini El Harrach. Hata hivyo, Simba ilikwenda kufungwa 2-0 El Harrach ingawa ilisonga mbele kwa ushindi wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Meet the new WAG at the Bernabeu! Vinicius Jr goes Instagram official with
Brazilian influencer who boasts 53 MILLION Instagram followers, her own TV
show and a famous ex-husband
-
The Brazilian winger, 25, and Virginia Fonseca, 26, confirmed their
rumoured relationship with a smitten post on Instagram this week.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment