Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 74 katika ushindi wa Arsenal wa 5-2 dhidi ya Everton leo Uwanja wa Goodison Park kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 40, Mesut Ozil dakika ya 53, Aaron Ramsey dakika ya 90 na Alexis Sanchez dakika ya 90 na ushei, wakati ya Everton iliyomaliza pungufu baada ya mchezaji wake, Idrissa Gueye kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano yamefungwa na Wayne Rooney dakika ya 12 na Oumar Niasse dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brentford 3-2 Liverpool: Arne Slot's Reds endure their most concerning
defeat yet as champions' crisis deepens
-
OLIVER HOLT AT THE GTECH COMMUNITY STADIUM: How Liverpool could have done
with a player of Henderson's composure and experience and leadership in the
heart...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment