Wachezaji wa Barcelona wakiwa wanyonge baada ya kuwaruhusu Celta Vigo kupata bao la kusawazisha katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi dakika ya 22 na Luis Suarez dakika ya 62, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Iago Aspas dakika ya 20 na Maxi Gomez dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Centurion Pope has answered his critics - Cook
-
Alastair Cook believes Ollie Pope showed admirable control in his century,
as England reach 209-3 in the first Test.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment