Wachezaji wa Barcelona wakiwa wanyonge baada ya kuwaruhusu Celta Vigo kupata bao la kusawazisha katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi dakika ya 22 na Luis Suarez dakika ya 62, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Iago Aspas dakika ya 20 na Maxi Gomez dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC 328 results: Sean Brady dominates Joaquin Buckley to win despite surge
of irregular betting movement
-
Sean Brady found himself under a microscope Saturday ahead of his UFC 328
bout against Joaquin Buckley. As it turns out, it was much ado about
nothing.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment