Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 74 kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33, wakati la Newcastle lilifungwa na Dwight Gayle dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2 years after Increased FAAC allocation: Citizens, stakeholders rate
governors
-
…Say some states have not deployed windfall from fuel subsidy removal
appropriately By Olakunle Olafioye (Lagos), Noah Ebije (Kaduna), George
Onyejiuwa (...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment