Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 74 kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33, wakati la Newcastle lilifungwa na Dwight Gayle dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy fades at Truist Championship as Alex Fitzpatrick grabs lead
-
Masters champion McIlroy had six bogeys in a third-round 75 as he fell 13
strokes off the pace set by the Englishman.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment